TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wameshiriki katika maadhimisho ya mwaka wa 34 wa kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
Habari ID: 3474664 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11
Serikali ya Nigeria imekiri kuwazika Waislamu 347 wa madhehebu ya Shia katika kaburi la umati mwezi Desemba mwaka 2015.
Habari ID: 3470245 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/13
Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano katika miji kadhaa wakipinga kuendelea kuwekwa kizuizini Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN).
Habari ID: 3470217 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/27