iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wameshiriki katika maadhimisho ya mwaka wa 34 wa kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
Habari ID: 3474664    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11

Serikali ya Nigeria imekiri kuwazika Waislamu 347 wa madhehebu ya Shia katika kaburi la umati mwezi Desemba mwaka 2015.
Habari ID: 3470245    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/13

Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano katika miji kadhaa wakipinga kuendelea kuwekwa kizuizini Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN).
Habari ID: 3470217    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/27